Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 38:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwenyezi-Mungu asema hivi: Yeyote atakayebaki katika mji huu atakufa kwa vita, njaa na maradhi; lakini yule atakayeondoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo, ataishi. Atakuwa ametekwa nyara na kuishi.

Kusoma sura kamili Yeremia 38

Mtazamo Yeremia 38:2 katika mazingira