Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 40:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Yohanani mwana wa Karea, akazungumza na Gedalia kwa faragha huko Mizpa, akamwambia, “Acha niende nikamuue Ishmaeli mwana wa Nethania, na hakuna mtu yeyote atakayejua. Kwa nini yeye akuue na watu wa Yuda wote waliokusanyika hapa watawanyike na Wayahudi waliobaki waangamie?”

Kusoma sura kamili Yeremia 40

Mtazamo Yeremia 40:15 katika mazingira