Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 41:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Ishmaeli mwana wa Nethania pamoja na wale watu kumi, wakainuka na kumshambulia kwa upanga Gedalia mwana wa Ahikamu, mjukuu wa Shafani, wakamuua. Gedalia ndiye aliyekuwa ameteuliwa na mfalme wa Babuloni kuwa mtawala wa nchi.

Kusoma sura kamili Yeremia 41

Mtazamo Yeremia 41:2 katika mazingira