Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 41:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipoingia mjini, Ishmaeli mwana wa Nethania, pamoja na wale watu kumi waliokuwa pamoja naye, waliwaua watu hao na kuzitupa maiti zao kisimani.

Kusoma sura kamili Yeremia 41

Mtazamo Yeremia 41:7 katika mazingira