Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 42:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, watu wakamwambia Yeremia, “Mwenyezi-Mungu na awe shahidi wa kweli na mwaminifu dhidi yetu ikiwa hatutafanya jinsi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako atakavyokuagiza utuambie.

Kusoma sura kamili Yeremia 42

Mtazamo Yeremia 42:5 katika mazingira