Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 44:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kila kitu tulichoapa kufanya tutafanya: Tutamfukizia ubani malkia wa mbinguni na kummiminia tambiko ya kinywaji kama tulivyokuwa tunafanya sisi wenyewe na wazee wetu, wafalme wetu na viongozi wetu, katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu. Ama wakati huo tulikuwa na chakula tele, tulistawi na hatukuona janga lolote.

Kusoma sura kamili Yeremia 44

Mtazamo Yeremia 44:17 katika mazingira