Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 44:7 Biblia Habari Njema (BHN)

“Sasa, mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, nauliza hivi: Mbona mnajiletea madhara makubwa namna hii, na kujiangamiza nyinyi wenyewe, wanaume kwa wanawake, watoto wadogo na wachanga, hata pasibaki mtu katika Yuda?

Kusoma sura kamili Yeremia 44

Mtazamo Yeremia 44:7 katika mazingira