Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 46:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, alisema: “Tazama, mimi nitamwadhibu Amoni mungu wa Thebesi, nitaiadhibu Misri na miungu yake na wafalme wake, nitamwadhibu Farao na wote wanaomtegemea.

Kusoma sura kamili Yeremia 46

Mtazamo Yeremia 46:25 katika mazingira