Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 48:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Moabu imeaibishwa maana imevunjwa;ombolezeni na kulia.Tangazeni kando ya mto Arnoni,kwamba Moabu imeharibiwa kabisa.

Kusoma sura kamili Yeremia 48

Mtazamo Yeremia 48:20 katika mazingira