Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 5:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi:“Kwa kuwa wao wamesema jambo hilo,sasa nitayafanya maneno niliyokupa wewe Yeremia kuwa moto.Watu hawa watakuwa kuni,na moto huo utawateketeza.

Kusoma sura kamili Yeremia 5

Mtazamo Yeremia 5:14 katika mazingira