Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 50:45 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, sikilizeni mpango ambao mimi Mwenyezi-Mungu nimepanga dhidi ya Babuloni pamoja na mambo niliyokusudia kuitendea nchi ya Wakaldayo: Hakika watoto wao wataburutwa na kuchukuliwa; kweli kutakuwa na mshangao mkubwa katika makao yao.

Kusoma sura kamili Yeremia 50

Mtazamo Yeremia 50:45 katika mazingira