Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 51:59 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo mwaka wa nne wa utawala wake, mfalme Sedekia alikwenda Babuloni pamoja na ofisa wa askari wake aitwaye Seraya mwana wa Neria na mjukuu wa Maseya. Kutokana na fursa hiyo mimi Yeremia nilimpa Seraya ujumbe.

Kusoma sura kamili Yeremia 51

Mtazamo Yeremia 51:59 katika mazingira