Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 52:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika siku ya kumi ya mwezi wa tano, mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadneza, mfalme wa Babuloni, Nebuzaradani kapteni wa walinzi wa mfalme ambaye alimtumikia mfalme wa Babuloni, aliingia Yerusalemu.

Kusoma sura kamili Yeremia 52

Mtazamo Yeremia 52:12 katika mazingira