Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 6:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitaongea na nani nipate kumwonya,ili wapate kunisikia?Tazama, masikio yao yameziba,hawawezi kusikia ujumbe wako.Kwao neno lako, ee Mwenyezi-Mungu,limekuwa jambo la dhihaka,hawalifurahii hata kidogo.

Kusoma sura kamili Yeremia 6

Mtazamo Yeremia 6:10 katika mazingira