Agano la Kale

Agano Jipya

Yeremia 8:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Je, waliona aibu walipotenda machukizo hayo?La hasha! Hawakuona aibu hata kidogo.Hata hawajui kuona haya.Kwa hiyo, wataanguka pamoja na wale walioanguka;nitakapowaadhibu, wataangamia.Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Kusoma sura kamili Yeremia 8

Mtazamo Yeremia 8:12 katika mazingira