Agano la Kale

Agano Jipya

Yobu 32:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Elihu, mwana wa Barakeli, wa kabila la Buzi wa ukoo wa Rama, akakasirika. Alimkasirikia Yobu kwa sababu Yobu alijiona yeye mwadilifu na sio Mungu.

Kusoma sura kamili Yobu 32

Mtazamo Yobu 32:2 katika mazingira