Agano la Kale

Agano Jipya

Yona 3:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha mfalme akawatangazia wakazi wa Ninewi: “Mimi mfalme, pamoja na wakuu wangu, natoa amri hii: Pasiwe na binadamu yeyote, ng'ombe au mnyama yeyote wa kufugwa, atakayeonja kitu chochote. Ni mwiko kwa mtu yeyote au mnyama kula au kunywa.

Kusoma sura kamili Yona 3

Mtazamo Yona 3:7 katika mazingira