Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 10:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Adoni-sedeki wa Yerusalemu alipata habari juu ya jinsi Yoshua alivyouteka mji wa Ai na kuuharibu kabisa akiutendea mji huo na mfalme wake kama alivyoutendea Yeriko na mfalme wake. Pia alipata habari kwamba wakazi wa Gibeoni walikuwa wamefanya mkataba wa amani na Waisraeli na kwamba sasa wanaishi miongoni mwao.

Kusoma sura kamili Yoshua 10

Mtazamo Yoshua 10:1 katika mazingira