Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 15:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kutoka hapo, uliendelea hadi Debiri kwenye bonde la Akori na kaskazini kuelekea Gilgali, ulio karibu na mwinuko wa Adumimu ambao uko kusini mwa kijito, kisha ukaelekea kwenye chemchemi za En-shemeshi na kuishia En-rogeli.

Kusoma sura kamili Yoshua 15

Mtazamo Yoshua 15:7 katika mazingira