Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Akawaambia: “Nendeni mlimani mkajifiche huko ili wanaowafuatia wasiwakute. Kaeni huko kwa muda wa siku tatu, mpaka wanaowafuatia watakapokuwa wamerudi mjini, kisha mwende zenu.”

Kusoma sura kamili Yoshua 2

Mtazamo Yoshua 2:16 katika mazingira