Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 22:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Sisi hatukuwa na nia ya kumwasi sasa Mwenyezi-Mungu hata kidogo na kumwacha kwa kujenga madhabahu ya kutolea sadaka za kuteketezwa au sadaka za unga au za tambiko. Hatupendi kutolea sadaka mahali pengine isipokuwa juu ya madhabahu ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu iliyo mbele ya maskani yake.”

Kusoma sura kamili Yoshua 22

Mtazamo Yoshua 22:29 katika mazingira