Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 4:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wale wanaume wakafanya kama walivyoamriwa na Yoshua, wakachukua mawe kumi na mawili kutoka katikati ya mto Yordani, jiwe moja kwa ajili ya kila kabila la Israeli, kama Mwenyezi-Mungu alivyomwambia Yoshua, wakaenda nayo hadi mahali pale walipolala, wakayaweka huko.

Kusoma sura kamili Yoshua 4

Mtazamo Yoshua 4:8 katika mazingira