Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 6:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulingana na amri ya Yoshua, wale makuhani saba waliokuwa na mabaragumu saba ya kondoo dume wakaenda mbele ya Mwenyezi-Mungu, wakiwa wanapiga mabaragumu, nyuma yao wakifuatwa na lile sanduku la agano.

Kusoma sura kamili Yoshua 6

Mtazamo Yoshua 6:8 katika mazingira