Agano la Kale

Agano Jipya

Yoshua 7:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Waisraeli hawakuwa waaminifu kuhusu vile vitu vilivyotolewa viangamizwe kwani Akani mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, alichukua baadhi ya vitu vilivyoamriwa viteketezwe. Kwa hiyo hasira ya Mwenyezi-Mungu ikawaka dhidi ya Waisraeli.

Kusoma sura kamili Yoshua 7

Mtazamo Yoshua 7:1 katika mazingira