Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 1:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu akasema, “Ee Mwenyezi-Mungu wa majeshi, kwa muda gani utaendelea kutokuwa na huruma juu ya mji wa Yerusalemu na miji ya nchi ya Yuda ambayo umeikasirikia kwa muda wa miaka sabini?”

Kusoma sura kamili Zekaria 1

Mtazamo Zekaria 1:12 katika mazingira