Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 12:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Wazawa wa Daudi na wakazi wa mji wa Yerusalemu nitawajaza roho ya huruma na maombi, nao watamtazama yeye waliyemtoboa; watamlilia kama mtu amliliavyo mtoto wake wa pekee, au kama mtu amliliavyo kwa uchungu mzaliwa wake wa kwanza.

Kusoma sura kamili Zekaria 12

Mtazamo Zekaria 12:10 katika mazingira