Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 13:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, nasema mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, majina ya vinyago vya miungu nchini nitayaondoa, wala hayatakumbukwa tena. Na wanaojidai kuwa manabii nitawaondolea mbali pamoja na tamaa zao za kuabudu sanamu.

Kusoma sura kamili Zekaria 13

Mtazamo Zekaria 13:2 katika mazingira