Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 14:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Nyinyi mtakimbia kupitia bonde hilo, katikati ya milima miwili ya Mwenyezi-Mungu. Mtakimbia kama wazee wenu walivyokimbia tetemeko la ardhi wakati wa utawala wa mfalme Uzia wa Yuda. Kisha Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, atakuja na watakatifu wote pamoja naye.

Kusoma sura kamili Zekaria 14

Mtazamo Zekaria 14:5 katika mazingira