Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 14:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, maji ya uhai yatabubujika kutoka mji wa Yerusalemu, na nusu ya maji hayo yatatiririkia kwenye bahari ya mashariki, na nusu nyingine kwenye bahari ya magharibi. Maji hayo yataendelea kububujika wakati wa kiangazi kama yalivyo wakati wa masika.

Kusoma sura kamili Zekaria 14

Mtazamo Zekaria 14:8 katika mazingira