Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 3:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akawaambia wamvike kilemba safi kichwani. Hivyo, wakamvika kilemba safi na mavazi; naye malaika wa Mwenyezi-Mungu alikuwa amesimama hapo.

Kusoma sura kamili Zekaria 3

Mtazamo Zekaria 3:5 katika mazingira