Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 4:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye akaniambia pia niseme neno hili la Mwenyezi-Mungu kumhusu Zerubabeli: “Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: Huwezi kushinda kwa nguvu au kwa uwezo wako mwenyewe, bali kwa msaada wa roho yangu. Mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nimesema.”

Kusoma sura kamili Zekaria 4

Mtazamo Zekaria 4:6 katika mazingira