Agano la Kale

Agano Jipya

Zekaria 5:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema kuwa yeye mwenyewe ataipeleka laana hiyo. Itapenya kila nyumba ya mwizi na kila nyumba ya mwenye kuapa uongo kwa kutumia jina lake; itakaa humo na kuteketeza nyumba hiyo yote, mbao na mawe.”

Kusoma sura kamili Zekaria 5

Mtazamo Zekaria 5:4 katika mazingira