Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wathesalonike 2:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnajua jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule Filipi kabla ya kufika kwenu Thesalonike. Ingawa kulikuwa na upinzani mwingi, Mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni Habari Njema yake.

Kusoma sura kamili 1 Wathesalonike 2

Mtazamo 1 Wathesalonike 2:2 katika mazingira