Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 1:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipokuwa bado anawaza jambo hilo, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akamwambia, “Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, maana amekuwa mjamzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.

Kusoma sura kamili Mathayo 1

Mtazamo Mathayo 1:20 katika mazingira