Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 22:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakawatuma wafuasi wao pamoja na wafuasi wa kikundi cha Herode. Wakamwuliza, “Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu, na kwamba wafundisha njia ya Mungu kwa uaminifu; humwogopi mtu yeyote, maana cheo cha mtu si kitu kwako.

Kusoma sura kamili Mathayo 22

Mtazamo Mathayo 22:16 katika mazingira