Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 7:50 Biblia Habari Njema (BHN)

vikombe, makasi ya kukatia tambi za mishumaa, mabakuli, vyetezo vya kuwekea ubani, miiko ya kuchukulia moto, vyote vya dhahabu safi; bawaba za milango ya sehemu ya ndani kabisa ya nyumba – pale mahali patakatifu sana – na bawaba za milango ya ukumbi wa ibada wa hekalu bawaba zote za dhahabu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 7

Mtazamo 1 Wafalme 7:50 katika mazingira