Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 7:51 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mfalme Solomoni akamaliza kazi zote zilizohusu nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Kisha Solomoni akaleta mali yote ambayo baba yake Daudi, alikuwa ameiweka wakfu, yaani: Fedha, dhahabu na vyombo; akaiweka katika hazina za nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 7

Mtazamo 1 Wafalme 7:51 katika mazingira