Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 4:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara moja jambo hilo juu ya mfalme Nebukadneza likatekelezwa. Alifukuzwa mbali na wanaadamu, akawa anakula majani kama ng'ombe. Alilowa kwa umande wa mbinguni, na nywele zake zikawa ndefu kama manyoya ya tai, na kucha zake kama za ndege.

Kusoma sura kamili Danieli 4

Mtazamo Danieli 4:33 katika mazingira