Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 4:34 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwishoni mwa ile miaka saba, mimi Nebukadneza niliinua macho yangu kutazama juu mbinguni na akili zangu zikanirudia. Nilimshukuru Mungu Mkuu na kumheshimu yeye aishiye milele:Kwa sababu enzi yake ni enzi ya milele,ufalme wake wadumu kizazi hata kizazi.

Kusoma sura kamili Danieli 4

Mtazamo Danieli 4:34 katika mazingira