Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 7:7 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kisha, katika maono yangu hayo ya usiku nikamwona mnyama wa nne wa ajabu na wa kutisha, mwenye nguvu sana. Huyu alikuwa na meno makubwa ya chuma ambayo aliyatumia kula na kuvunjavunja, na mabaki aliyakanyagakanyaga kwa nyayo zake. Alikuwa tofauti na wale wanyama wengine watatu, kwani alikuwa na pembe kumi.

Kusoma sura kamili Danieli 7

Mtazamo Danieli 7:7 katika mazingira