Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 7:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilipokuwa naziangalia hizo pembe, niliona upembe mwingine mdogo ukiota miongoni mwa zile kumi. Ili kuupa nafasi upembe huu zile pembe nyingine tatu zilingolewa pamoja na mizizi yake. Ulikuwa na macho ya binadamu na kinywa kilichotamka maneno ya kujigamba.

Kusoma sura kamili Danieli 7

Mtazamo Danieli 7:8 katika mazingira