Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 7:9 Biblia Habari Njema (BHN)

“Nikiwa bado naangalia, viti vya enzi viliwekwa hapo, kisha ‘Mzee wa kale na kale’ akaja, akaketi. Alikuwa amevaa vazi jeupe kama theluji; nywele zake zilikuwa kama sufu safi. Kiti chake cha enzi kilikuwa cha miali ya moto na magurudumu ya kiti chake yalikuwa ya moto uwakao.

Kusoma sura kamili Danieli 7

Mtazamo Danieli 7:9 katika mazingira