Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 16:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Vimekuwa vitakatifu kwa sababu watu hawa walivileta madhabahuni pa Mwenyezi-Mungu. Basi, vichukue vyetezo vya watu hao waliouawa kwa sababu ya dhambi zao, vifuliwe kuwa vyembamba ili viwe kifuniko cha madhabahu. Hili litakuwa onyo kwa Waisraeli wote.”

Kusoma sura kamili Hesabu 16

Mtazamo Hesabu 16:38 katika mazingira