Agano la Kale

Agano Jipya

Mhubiri 11:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Usivyojua jinsi uhai unavyoingia katika mifupa ya mtoto tumboni mwa mamake, kadhalika huwezi kuelewa matendo ya Mungu, ambayo hufanya kila kitu.

Kusoma sura kamili Mhubiri 11

Mtazamo Mhubiri 11:5 katika mazingira