Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 21:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa tutafanya nini ili kuwapatia wake hao wanaume wa kabila la Benyamini waliosalia? Maana tulikwisha apa kwa jina la Mwenyezi-Mungu kuwa hatutawapa binti zetu wawe wake zao!”

Kusoma sura kamili Waamuzi 21

Mtazamo Waamuzi 21:7 katika mazingira