Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 21:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakataka kujua kama kulikuwa na kikundi chochote cha makabila ya Israeli ambacho hakikuhudhuria mkutano mbele ya Mwenyezi-Mungu huko Mizpa. Wakagundua kwamba hakuna mtu yeyote kutoka Yabesh-gileadi aliyekuja kwenye mkutano huo.

Kusoma sura kamili Waamuzi 21

Mtazamo Waamuzi 21:8 katika mazingira