Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 12:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani atamtolea mbele ya Mwenyezi-Mungu na kumfanyia huyo mama ibada ya upatanisho mbele ya Mwenyezi-Mungu. Hivyo huyo mwanamke atakuwa safi kutokana na damu yake. Huo ni mwongozo kuhusu mwanamke yeyote anayejifungua mtoto wa kiume au wa kike.

Kusoma sura kamili Walawi 12

Mtazamo Walawi 12:7 katika mazingira