Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 12:8 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama hawezi kutoa mwanakondoo, basi, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa; mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya kuondolea dhambi. Kuhani atamfanyia mama huyo ibada ya upatanisho, naye atakuwa safi.”

Kusoma sura kamili Walawi 12

Mtazamo Walawi 12:8 katika mazingira