Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 16:15 Biblia Habari Njema (BHN)

“Halafu atamchinja yule beberu wa sadaka ya kuondoa dhambi kwa ajili ya watu wote. Damu ya mbuzi huyo ataileta ndani mahali patakatifu sana na kufanya kama alivyofanya na damu ya yule fahali; atainyunyiza juu ya kiti cha rehema, upande wake wa mbele.

Kusoma sura kamili Walawi 16

Mtazamo Walawi 16:15 katika mazingira