Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 16:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo atafanya ibada ya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya unajisi, makosa na dhambi zote za Waisraeli. Ndivyo atakavyofanya pia kwa ajili ya hema la mkutano lililo miongoni mwa watu hao walio najisi.

Kusoma sura kamili Walawi 16

Mtazamo Walawi 16:16 katika mazingira